Homa ya Nyumbani
De (autor): Ken Walibora
Fasihi ni kioo cha jamii. Hadithi fupi, kama utanzu wa fasihi, huweka wazi masuala na matukio katika jamii kiasi cha jamii kueleweka na kutambulika. Uhusiano miongoni mwa wanajamii husawiriwa kupitia mienendo, mazungumzo, matendo na fikira ya wahusika. Hali ambayo huwafanya wapenzi wa fasihi, haswa hadithi fupi, kujua jinsi jamii yao ilivyo, na kwa hivyo, kuendeleza maadili ama kupogoa jambo lolote linaloenda kombo. Mkusanyiko huu wa Homa ya Nyumbani na Hadithi Nyingine ni wa pekee na hauna mwenza wala mshindani.
-10%
transport gratuit
PRP: 231.38 Lei
Acesta este Pretul Recomandat de Producator. Pretul de vanzare al produsului este afisat mai jos.
208.24Lei
208.24Lei
231.38 LeiPrimesti 208 puncte
Primesti puncte de fidelitate dupa fiecare comanda! 100 puncte de fidelitate reprezinta 1 leu. Foloseste-le la viitoarele achizitii!
Livrare in 2-4 saptamani
Poti comanda acest produs introducand numarul tau de telefon. Vei fi apelat de un operator Libris.ro in cele mai scurt timp pentru prealuarea datelor necesare.
Pentru a putea comanda rapid este nevoie sa introduceti numarul dvs de telefon in formatul 0xxxxxxxxx (10 cifre).Un operator Libris.ro va suna si va cere telefonic restul datelor necesare.
Descrierea produsului
Fasihi ni kioo cha jamii. Hadithi fupi, kama utanzu wa fasihi, huweka wazi masuala na matukio katika jamii kiasi cha jamii kueleweka na kutambulika. Uhusiano miongoni mwa wanajamii husawiriwa kupitia mienendo, mazungumzo, matendo na fikira ya wahusika. Hali ambayo huwafanya wapenzi wa fasihi, haswa hadithi fupi, kujua jinsi jamii yao ilivyo, na kwa hivyo, kuendeleza maadili ama kupogoa jambo lolote linaloenda kombo. Mkusanyiko huu wa Homa ya Nyumbani na Hadithi Nyingine ni wa pekee na hauna mwenza wala mshindani.
Detaliile produsului
De pe acelasi raft
De acelasi autor
Parerea ta e inspiratie pentru comunitatea Libris!